The Revolutionary Government of Zanzibar

news

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AIPONGEZA SEKRETARIETI KAMATI YA PAMOJA YA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA MUUNGANO

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameipongeza Sekretarieti ya Kamati ya Pamoja ya Kushughulikia Masuala ya Muungano kwa kufanikisha utatuzi wa hoja za Muungano. Mhe. Hemed ametoa pongezi hizo leo Mei 20, 2021 alipokutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti hiyo ofisini kwake Vuga, Zanzibar. Alisema pamoja na mafanikio hayo ipo haja

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AIPONGEZA SEKRETARIETI KAMATI YA PAMOJA YA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA MUUNGANO Read More »